Dalili kumi (10) za mtu asiyejiamini.
Kutojiamini ni tatizo la watu wengi, kwa kulijua hilo nimeona ni vyema tukajuzana mambo machache kuhusu "KUJIAMINI" dalili hizi kumi (10) nilizooredhesha hapo chini nimezipata katika mtandao mmoja wa kijamii wa hapa nchini kwetu, kwakuwa niliona ni jambo linalogusa watu wengi nikaona niweke hapa ili wote tufaidike. Soma kwa makini naamini kwa namna moja au nyingine utajifunza kitu. Dalili zenyewe ni kama zifuatazo...
No comments:
Post a Comment