TANGAZO
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) mwezi,Mei2015 kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kilianza rasmi tarehe1 Julai,2014hadi tarehe30 Septemba, 2014kwa ada ya Shilingi50,000/=.Aidha kuanzia tarehe1Oktoba,2014hadi tarehe31Oktoba,2014waombaji watajisajili kwa ada ya Shilingi65,000/-(ada pamoja na faini). Waombaji wotewanasisitizwakuhakikisha wanajisajili mapema kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya Baraza la Mitihani ya www.necta.go.tz.Kabla ya kujisajili kwenye mtandao, waombaji wanapaswa kwenda kwenye vituo vya mtihani kuchukua namba rejea (reference number) zinazotolewaburena kulipa ada ya mtihani kwa njia ya Posta au M-pesa.
Imetolewa Na:
Kaimu Katibu Mtendaji Baraza laMitihanilaTanzania.
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwatangazia watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) mwezi,Mei2015 kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kilianza rasmi tarehe1 Julai,2014hadi tarehe30 Septemba, 2014kwa ada ya Shilingi50,000/=.Aidha kuanzia tarehe1Oktoba,2014hadi tarehe31Oktoba,2014waombaji watajisajili kwa ada ya Shilingi65,000/-(ada pamoja na faini). Waombaji wotewanasisitizwakuhakikisha wanajisajili mapema kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya Baraza la Mitihani ya www.necta.go.tz.Kabla ya kujisajili kwenye mtandao, waombaji wanapaswa kwenda kwenye vituo vya mtihani kuchukua namba rejea (reference number) zinazotolewaburena kulipa ada ya mtihani kwa njia ya Posta au M-pesa.
Imetolewa Na:
Kaimu Katibu Mtendaji Baraza laMitihanilaTanzania.
No comments:
Post a Comment