Monday, July 22, 2013
Thursday, July 18, 2013
SUMU ILIOUA WANAFUNZI INDIA
RIPOTI YABAINI SUMU: Wakati uchunguzi ukibaini sumu kwenye chakula kilichoua wanafunzi 22 India hapo juzi, leo maelfu wamesusia huduma hiyo ya bure mashuleni.
MANDELA ATIMIZA MIAKA 95
SIKU YA NELSON MANDELA: Leo Afrika ya Kusini wanasherehekea miaka 95 ya kuzaliwa kwake. Rais Obama amtumia salamu za pongezi, ataka dunia kuheshimu mchango wake.Ni baada ya Nelson Mandela kutoka hospital na sasa yuko nyumbani.
KESI ZA ARDHI ZASIKILIZWA
KESI ZA ARDHI: Mahakama Kuu kitengo cha ardhi kupitia vikao maalum itasikiliza kesi zote za ardhi kuanzia 2004 hadi 2009 kwa siku 30 mfululizo na kutoa hukumu.
Wenye kesi za ardhi zitasikilizwa.
CHAKULA CHAUA WATOTO INDIA
CHAKULA CHAUA 20: Watoto 20 wamekufa baada ya kula chakula cha mchana kinachosadikiwa kuwa na sumu wakiwa shuleni nchini India, wengine 28 wako hospitali.
BENKI YA BARCLAYS HATIANI
BARCLAYS HATIANI: Benki ya kimataifa ya Barclays yapigwa faini ya dola milioni 435 Marekani kwa kufanya hila na kupanga bei isivyo halali katika soko la umeme.Yasemekana benki hiyo iko hatiani kufilisika.
MGOMO WA WAALIMU KENYA WAFIKIA UKINGONI
MGOMO WA WALIMU WASITISHWA: Walimu Kenya wamesitisha mgomo wao na kurejea kwenye mazungumzo saa chache baada ya Serikali kutangaza kufunga shule zote za umma.ni baada ya Rais Kenyatta kutangaza kua waalimu ambao hawataenda kazini watakua wamejifukuzisha shule.
AJALI BASI LA AIR BUS
AJALI: Basi la Air Bus likitokea Tabora kwenda Dar limepata ajali eneo la Miseyu, Morogoro, watu 23 wamejeruhiwa wanne kati yao vibaya, chanzo ni mwendo kasi.
"Mabasi yanatakiwa kupunguza mwendo pindi yanapokua barabarani kwani basi hilo lilikua kasi sana"
asema mmoja wa majeruhi
AJALI BASI LA AIR BUS
AJALI: Basi la Air Bus likitokea Tabora kwenda Dar limepata ajali eneo la Miseyu, Morogoro, watu 23 wamejeruhiwa wanne kati yao vibaya, chanzo ni mwendo kasi.
"Mabasi yanatakiwa kupunguza mwendo pindi yanapokua barabarani kwani basi hilo lilikua kasi sana"
asema mmoja wa majeruhi
Wednesday, July 17, 2013
Wednesday, July 10, 2013
Yahoo!InboxContactsCalendarFoldersRefreshComposeKassim Seif8 mins agoRe: nakuona umetokelezeaKawaida 2 vjana -----------...FacebookJun 11Reminder: Kasem Ksm invited you to join Facebook...Kasem Ksm wants to be your...Kassim SeifMay 18Re: nakuona umetokelezeaNyie vp cm2teme. Kha On 5/1...FacebookMay 2Reminder: Kasem Ksm invited you to join Facebook...Kasem Ksm wants to be your...kassimseif21@ovi.comApr 23HelloVp kaka mbona kimyaFacebookApr 17Reminder: Kasem Ksm invited you to join Facebook...facebook Kasem Ksm wants to...Kasem KsmMar 31Join me on FacebookHi Kassim.seif, Join me on...Yahoo! Accounts TeamMar 26Reminder: Add your account recovery optionCan't see images? View on a...Scott TurtonMar 14EducationOnlineForComputers Profile UpdateHello Seif, Here are your l...Scott TurtonMar 14Email ConfirmationPlease confirm email addres...NewerOlderPlease give us your feedbackHi, Kassim.Set Your LocationSign outPrivacy|Legal|Help© 2013 Yahoo! Inc. All rights reserved
Subscribe to:
Posts (Atom)