Thursday, July 18, 2013

SUMU ILIOUA WANAFUNZI INDIA

RIPOTI YABAINI SUMU: Wakati uchunguzi ukibaini sumu kwenye chakula kilichoua wanafunzi 22 India hapo juzi, leo maelfu wamesusia huduma hiyo ya bure mashuleni.

No comments:

Post a Comment