Thursday, July 18, 2013

MANDELA ATIMIZA MIAKA 95

SIKU YA NELSON MANDELA: Leo Afrika ya Kusini wanasherehekea miaka 95 ya kuzaliwa kwake. Rais Obama amtumia salamu za pongezi, ataka dunia kuheshimu mchango wake.Ni baada ya Nelson Mandela kutoka hospital na sasa yuko nyumbani.

No comments:

Post a Comment