Thursday, July 18, 2013

BENKI YA BARCLAYS HATIANI

BARCLAYS HATIANI: Benki ya kimataifa ya Barclays yapigwa faini ya dola milioni 435 Marekani kwa kufanya hila na kupanga bei isivyo halali katika soko la umeme.Yasemekana benki hiyo iko hatiani kufilisika.

No comments:

Post a Comment