MGOMO WA WALIMU WASITISHWA: Walimu Kenya wamesitisha mgomo wao na kurejea kwenye mazungumzo saa chache baada ya Serikali kutangaza kufunga shule zote za umma.ni baada ya Rais Kenyatta kutangaza kua waalimu ambao hawataenda kazini watakua wamejifukuzisha shule.
No comments:
Post a Comment