BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013
Imetolewa Na:
KAIMU KATIBU MTENDAJI
25Februari, 2014
UFAFANUZIWA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMUKUHUSU MATOKEO YAMTIHANI WAKIDATO CHA NNE(CSEE)2013
Baraza la Mitihani la Tanzania lilitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2013 tarehe21/02/2014. Baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Baraza limekuwa likipokea maswali mbalimbali yanayoashiria kuwa baadhi ya wadau wa elimu hawakuelewa vizuri kuhusuViwango vya Ufaulu(grade ranges),alama yachiniya ufaulu(pass mark) naUfaulu wajumlawa mtahiniwa(overall performance). Baraza la Mitihani linapenda kutoa ufafanuzi katika mambo hayo kama ifuatavyo:
1.
Viwango vya ufaulu (grade ranges) ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuwaweka pamoja watahiniwa wenye uwezo unaofanana katika somo husika na kuwatofautisha na watahiniwa waliopo katika kundi jingine. Makundi haya hupangwa ili kuwawezesha wadau kutambua namna watahiniwa walivyotawanyika katika viwango mbalimbali vya umahiri wa somo husika. Baraza la Mitihani la Tanzania, limekuwa likitumia makundi Matano (5) kwa kipindi kirefu hadi mwaka 2012. Aidha, Kuanzia Mtihani wa Kidato cha Nne(CSEE)2013, Baraza limeanza kutumia utaratibu waMakundi Saba (7)ambayo niA, B+, B, C, D, EnaF. Utaratibu huu umelenga kupunguza mlundikano mkubwa wa alama katika kundi moja. Mgawanyo wa makundi hayo ni kama inavyoonekana kwenye Jedwali la 1.
Jedwali Na 1:Viwango vya ufaulu vilivyotumikakatika Matokeo ya CSEE 2013.
Kundi
Gredi
Alama
Idadi ya Pointi
1
A
75 - 100
1
2
B+
60 - 74
2
3
B
50 - 59
3
4
C
40 - 49
4
5
D
30 - 39
5
6
E
20 - 29
6
7
F
0 - 19
7
Aidha, Idadi ya makundi ya ufaulu hutofautiana kati ya nchi na nchi kulingana na mahitaji ya nchi husika. Kwa mfano; Kenya wana makundi Kumi na mbili (12), Malawi Tisa (9), Uganda Tisa (9), Nchi za Afrika magharibi (Nigeria, Ghana, Siera Leone na Liberia) makundi Tisa.
1.
Kwa kuzingatia viwango vya ufaulu vilivyoainishwa katika makundi saba yaliyopo kwenye Jedwali na 1, kiwango cha chini cha ufaulu ni gredi D na kiwango cha juu cha ufaulu ni Gredi A. Mtahiniwa atakuwa amefaulu somo husika iwapo atapata gredi D na kuendelea. Aidha, mtahiniwa aliyepata gredi E na F atakuwa hajafaulu somo husika.
1.
Madaraja ya ufaulu yamepangwa kwa mujibu wa kifungu cha 20 (1)-(6) cha Kanuni za Mitihani kinachoelekeza kuwa Ufaulu katika daraja la Kwanza hadi la Tatu upangwe kwa kuzingatia jumla ya alama (Points) na Ufaulu katikaDaraja la Nne unapangwa kwa kuzingatia ufaulu wa chini aliopata mtahiniwa ambao ni gredi D katika masomo yasiyopungua mawili au ufaulu kwa kiwango kisichokuwa chini ya Gredi C katika somo moja. Hivyo, madaraja yaliyotumika ni kama yanavyoonekana kwenye Jedwali la 2.
Jedwali 2: Madaraja yaliyotumika katika CSEE 2013
Daraja
Pointi
I
7 - 17
II
18 - 24
III
25 - 31
IV
1.
Ufaulu katika somo moja kwa kiwango kisichokuwa chini ya Gredi C au
2.
Ufaulu katika masomo yasiyopungua mawili katika Gredi D
0
Alama chini ya D mbili
1.
Kwa mujibu wa Kanuni za Mitihani, ufaulu wa somo katika Gredi A hadi C utakuwa ni ufaulu wa “Credit” na Gredi D itahesabika kuwa ni “pass”. Aidha Gredi E na F zitakuwa alama za kufeli.
1.
Baraza la mitihani la Tanzania linapenda kutoa taarifa kwamba ufafanuzi wa sifa za kujiunga na mafunzo katika ngazi mbalimbali kwa kutumia mfumo huu mpya wa madaraja utatolewa na mamlaka husika ambapo Kamishna wa Elimu atalitolea ufafanuzi zaidi.
Imetolewa Na:
KAIMU KATIBU MTENDAJI
Friday, February 28, 2014
Saturday, February 22, 2014
Friday, February 21, 2014
Monday, February 10, 2014
Faida nne (4) za kufanya mazoezi ya kukimbia.
Wakati tatizo la unene likiongezeka kwa kasi katika jamii yetu, watu bado wamekuwa wakijisahau kufanyisha mazoezi miili yao licha ya kupata ushauri wa afya katika vyombo vya habari (redioni, T.V, magazetini) na sehemu nyingine mbalimbali wanapotoa huduma za afya. Elimu ya lishe bora pamoja na ile ya kuishi vizuri kwa afya bora ni elimu muhimu sana kwa kila mtu kufahamu. Ukiwa na maarifa ya namna ya kula vizuri na kufanya mazoezi kwa afya, bila shaka utakuwa na upeo mkubwa wa kujua na kuelewa ni jinsi gani chakula na mazoezi yalivyomuhimu kwa maendeleo mazuri ya mwili wako na afya kiujumla.
Kuna sababu nyingi za mtu kutofanya mazoezi inaweza kuwa ni maradhi aliyonayo, kutoweka kipaumbele kufanya mazoezi ya mwili, ukosefu wa maarifa nakadhalika lakini swali muhimu la kujiuliza wewe mwenyewe hapa ni, je unasababu yeyote ya msingi ya wewe kutofanya mazoezi? Sababu nzuri ya wewe kutofanya mazoezi inaweza kuwa ni huna muda lakini ni jambo la busara kufikiri je ni kweli unakosa angalau dakika 30 kwa siku kukimbia na kupata muda mwingi wa kutosha wa kulimbikiza mafuta mwilini yanayochangia uzito na unene wa mwili?
Zoezi la kukimbia lina manufaa mengi, hizi hapa ni baadhi ya faida.
1. Hurefusha maisha.
Uchunguzi wa kisayansi umethibitisha kuwa kukimbia angalau kwa saa chache kwa wiki sio tu kutakufanya uwe mchangamfu na kuongeza utendaji wako wa kazi bali pia huongeza miaka ya kuishi.
2. Huimarisha moyo na mapafu.
Kwa mtu wa kawaida mwili hutumia oxygen mara 10 zaidi wakati wa kufanya zoezi rahisi la kukimbia ukilinganisha na akiwa amekaa. Mtu anapofanya zoezi la kupasha mwili kwa muda huimarisha mfumo wa moyo wa usukumaji damu hivyo moyo na mapafu pia hufanya kazi zake kwa ufanisi.
3. Huboresha utendaji kazi wa ubongo na kuongeza uwezo wako wa kufikiri.
Ikiwa inaaminika mazoezi ni afya, licha ya kuwa mazoezi yana manufaa mengi kiafya pia inaaminika mazoezi ya kukimbia husababisha ubongo kuzalisha homorne iitwayo ‘’endorphin’’ ambayo kemikali hii huibua hisia za furaha na kumfanya mtu awe katika hali ya kuwa na raha na mwenye mawazo chanya. Sio tu kwamba mazoezi haya yatakufanya ujihisi katika hali ya furaha kwa muda bali yatakufanya pia uongeze ujasiri wako wa kujiamini na kujikubali mwenyewe hivyo pia utapunguza msongo wa mawazo na matatizo mengine yanayosababishwa na kuchoka kwa ubongo.
4. Hupunguza uzito wa mwili na mafuta mwilini.
Sote tunajua unapofanya mazoezi, baada ya muda utajisikia kuchoka, kutokwa na jasho, kuhema sana nakadhalika. Haya yote ni matokeo baada ya kufanya zoezi la kukimbia, unapofanya maozezi unachoma calories mwilini na hatimaye kupunguza mafuta. Ikiwa utakuwa unafanya mazoezi ya kukimbia ipasavyo na kwa malengo ni rahisi kwako kuona mabadiliko ya mwili wako baada ya wiki chache. Kama wewe ni mnene na una uzito mkubwa wa mwili huu ndio wakati wako wa kuanza kufanya mazoezi ya kukimbia.
Kujua zaidi:Soma Njia za kupunguza unene wa mwili wako.
Kumbuka kama una matatizo yoyote ya kiafya kama pumu, maradhi ya moyo, mapafu, matatizo ya mifupa, misuli na mengineyo ni vyema ukamuona daktari kwa ushauri kabla ya kuanza kufanya mazoezi haya.FANYA MAZOEZI KWA AFYA BORA!
Sunday, February 9, 2014
Mambo sita (6) ya kukusaidia kuboresha afya yako leo.
1. Punguza kutumia kilevi (pombe) badala yake ongeza kunywa chai, maji na juisi asilia ya matunda.
2. Punguza kula nyama (hasa nyama nyekundu za wanyama waliwao) badala yake ongeza ulaji wa mboga mboga za majani.
3. Punguza kutumia sukari nyingi au kula vyakula vyenye sukari nyingi badala yake ongeza ulaji wa matunda kwa wingi.
4. Punguza utumiaji wa chumvi nyingi au kula vyakula vyenye chumvi nyingi badala yake ongeza utumiaji wa siki (vinegar)
5. Punguza kuwa na wasiwasi au hofu ya aina yeyote ile badala yake pumzisha mwili wako kwa kuongeza ubora wa usingizi wako kwa kulala mahali safi, tulivu, penye hewa ya kutosha na kwa muda wa kutosha. (saa 6 mpaka 8)
6. Punguza kuwa na hasira kila wakati badala yake ongeza kutabasamu na kucheka kwa furaha kila unapofurahishwa.
Saturday, February 1, 2014
Zijue faida za tunda tikitimaji kwa afya njema.
Tikitimaji ni tunda lenye ladha nzuri na tamu sana. Lina maji kwa 92% na sukari kwa takriban 6%. Licha ya kuwa juisi ya tikitimaji au tunda lenyewe hukata kiu kwa haraka bado kuna faida nyingine nyingi za kiafya tunazonufaika kutokana na tunda hili. Je ulikuwa ukijua tikitimaji lina sukari asilia yenye kukupatia nguvu mwilini, vitamin A, C, E, D, niacin na madini kama ya chuma (iron), calcium, magnesium, manganese, potassium, phosphorus, zinc nakadhalika. Faida nyingine ya tunda hili ni kwamba halina mafuta kabisa hivyo ukila tikitimaji huwezi kuongeza mafuta au cholesterol mwilini.
Angalia hii video hapa chini yenye maelezo ya namna ya kutengeneza juisi ya tikitimaji na faida za tunda lenyewe.
Hebu tuangalie manufaa ya kiafya tunayopata kutokana na tikitimaji.
1. Huepusha saratani.
Tikitimaji ni moja ya tunda lenye wingi wa kemikali iitwayo ‘’lycopene’’ ambayo pia inapatikana katika matunda mengine pamoja na mboga za majani. Kemikali hii inaaminika kuwa ni kuzuizi na tiba asilia ya saratani ya tezi dume (prostrate cancer) kwa wanaume. Saratani ya aina hii inazidi kushamiri ulimwenguni hivyo ikiwa wewe ni mwanaume wa shoka na hutaki kuwa mmoja wa wagonjwa wa saratani ya aina hii (prostate cancer) ni vyema ukafanya tikitimaji kuwa kimbilio lako.
2. Hupambana na maambukizi mbalimbali yaletayo magonjwa.
Kwa kula tikitimaji unaongeza uwezo wa mwili wako kuwa imara na kujikarabati kwa haraka. Mfano katika ugonjwa wa ngozi, tikitimaji huboresha ngozi yako na kufanya ionekane yenye afya na yenye kunawiri. Hii ni kwasababu tikitimaji lina kemikali iitwayo ‘’amino acid citruline’’ ambayo baadae hubadilisha na kuwa katika mfumo wa kemikali nyingine ‘’arginine’’. Arginine huchochea uzalishwaji wa chembechembe nyeupe za damu ambazo huwa kama kinga katika eneo lenye jeraha. Licha ya hivyo Vitamin C inayopatikana kwenye tikitimaji huongeza kinga ya mwili. Kazi nyingine ya vitamin C ni kuponya vidonda kwakuwa ina uwezo wa kukarabati na kutengeneza sehemu iliyoharibika kwa ugonjwa. Kama wewe una tatizo la vidonda kutopona kwa haraka, tikitimaji pamoja na matunda mengine yenye wingi wa vitamin C ndio chaguo lako.
3. Husafisha figo.
Kwa kuwa asilimia kubwa ya tikitimaji ni maji hivyo maji hayo hufanya tunda hili kuwa ni dawa ya asili inayosaidia figo kuondoa taka mwilini kupitia mkojo. Pia tikitimaji husaidia ini kuvunjavunja na kuondoa sumu mbalimbali na hivyo kurahisisha utendaji mzuri mwili kujisafisha na hatimaye kuwa wenye afya njema.
4. Husaidia kudhibiti ongezeko la shinikizo la damu.(High blood pressure)
Tafiti mbalimbali zilizofanywa na wanasayansi wa chakula dawa, wamebaini kuwa kemikali zinazopatikana katika tikitimaji ‘’L-citrulline’’ ambayo ina uhusiano wa karibu na kemikali nyingine iitwayo ‘’L-arginine’’ zote mbili kwa pamoja zinaaminika kusaidia kupunguza shinikizo la damu (high blood pressure) na hivyo kuepusha maradhi mengine yanayohusiana na moyo.
5. Huongeza hamu na nguvu ya kufanya mapenzi.(Viagra asilia)
Uchunguzi uliofanywa na wataalamu mbalimbali wa afya ukiwemo utafiti kutoka Chuo Kikuu cha Havard Marekani umebaini sio tu kwamba tikitimaji huboresha mfumo wa mzunguko wa damu wa moyo bali hata pia huongeza hamu na nguvu ya kufanya mapenzi kwa wanaume. Kemikali inayojulikana kama ‘’citruline’’ katika tikitimaji inasaidia kuchochea mishipa ya damu ku-relax na kuruhusu damu izunguke kwa ufanisi wake na kuleta muhamko wa uume kama inavyofanya kazi dawa ya kuongeza nguvu ya kufanya mapenzi (Viagra). Tikitimaji pia linaaminika kuongeza nguvu ya mwili kwa asilimia 23%, hii ni kwasababu tikitimaji lina madini ya magnesium ambayo husaidia katika utengenezwaji wa nguvu mwilini (adenosine triphosphate ATP ) na vitamin B6 ambayo huchochea uzalishaji wa hormone ya kukufanya ujisikie mwenye furaha (dopamine hormone).
Angalia hii video clip hapa chini upate maelezo kuhusu tikitimaji kama Viagra asilia kutoka kwenye jarida la afya la Havard University.
Ndugu msomaji, leo tumeona ni jinsi gani tunda hili la tikitimaji lilivyo na faida nyingi katika miili yetu. Ushauri wangu ni kwamba kuliko kunywa soda au kilevu chenye sukari nyingi ni bora kama ukiweza tengeneza juisi yako mwenyewe ya tikitimaji ukiwa nyumbani kwa manufaa ya afya yako na familia yako kiujumla.
NAKUTAKIA AFYA NJEMA!
Sunday, January 26, 2014
Tips for Making Your Goals Count this Year 2014....II
3. S.M.A.R.T. Goals.
S.M.A.R.T. means Specific, Measurable, Attainable, Realistic, and Time-sensitive.
I really like this acronym, S.M.A.R.T., because we want to be smart when we set our goals. We want to intelligently decide what our goals will be so that we can actually accomplish them. We want to set the goals that our heart conceives, our minds believe and that our bodies will carry out. Let's take a closer look at each of the components of S.M.A.R.T. goals:
Specific:Goals are no place to waffle. They are no place to be vague. Ambiguous goals produce ambiguous results. Incomplete goals produce incomplete futures.
Measurable:Always set goals that are measurable. I would say "specifically measurable" to take into account our principle of being specific as well.
Attainable:One of the detrimental things that many people do - and they do it with good intentions— is to set goals that are so high they are unattainable.
Realistic:The root word of realistic is "real." A goal has to be something that we can reasonably make "real" or a "reality" in our lives.
Time:Every goal should have a time frame attached to it. I think that life itself is much more productive if there is a time frame connected to it. Could you imagine how much procrastination there would be on earth if people never died? We would never get "around to it." We could always put it off. One of the powerful aspects of a great goal is that it has an end, a time in which you are shooting to accomplish it.
4. Accountability(a contract with yourself or someone else).
When someone knows what your goals are, they hold you accountable by asking you to "give an account" of where you are in the process of achieving that goal. Accountability puts some teeth into the process. If a goal is set and only one person knows it, does it really have any power? Many times, no. At the very least, it isn't as powerful as if you have one or more other people who can hold you accountable to your goal.
When you put these 4 key pieces together, you are putting yourself in a position of power that will catapult you toward achieving your goals.
Tips for Making Your Goals Count this Year 2014.
What it makes of you will always be the far greater value than what you get. That is why goals are so powerful - they are part of the fabric that makes up our lives. And goal-setting is where we create our goals.
Goal-setting is powerful, partly because it provides focus. It shapes our dreams. It gives us the ability to hone in on the exact actions we need to perform to achieve everything we desire in life. Goals are GREAT because they cause us to stretch and grow in ways that we never have before.In order to reach our goals we must become better.We must change and grow.
Also, goals provide long-term vision in our lives. We all need lots of powerful, long-range goals to help us get past short-term obstacles. Life is designed in such a way that we look long-term and live short-term. We dream for the future and live in the present. Unfortunately, the present can produce many difficult obstacles. But fortunately, the more powerful our goals (because they are inspiring and believable) the more we will be able to act on them in the short-term and guarantee that they will actually come to pass.
So, let's take a closer look at the topic of goal-setting and see how we can make it forceful as well as practical. What are the key aspects to learn and remember when studying and writing our goals?
1. Evaluation and Reflection.
The only way we can reasonably decide what we want in the future and how we will get there is to first know where we are right now and what our level of satisfaction is for where we are in life. So first take some time and think through and write down your current situation, then ask this question on each key point—is that okay?
The purpose of evaluation is two-fold. First, it gives you an objective way to look at your accomplishments and your pursuit of the vision you have for your life. Secondly, it is to show you where you are so you can determine where you need to go. In other words, it gives you a baseline from which to work.
2. What are Your Dreams and Goals?
These are the dreams and goals that are born out of your own heart and mind. These are the goals that are unique to you and come from who you were created to be and gifted to become. So second, make a list of all the things you desire for the future.
One of the amazing things we have been given as humans is the unquenchable desire to have dreams of a better life, and the ability to establish goals to live out those dreams. Think of it: We can look deep within our hearts and dream of a better situation for ourselves and our families; dream of better financial lives and better emotional or physical lives; certainly dream of better spiritual lives.
But what makes this even more powerful is that we have also been given the ability to not only dream but to pursue those dreams and not just pursue them, but the cognitive ability to actually lay out a plan and strategies (setting goals) to achieve those dreams. Powerful!
What are your dreams and goals? This isn't what you already have or what you have done, but what you want. Have you ever really sat down and thought through your life values and decided what you really want? Have you ever taken the time to truly reflect, to listen quietly to your heart, to see what dreams live within you? Your dreams are there. Everyone has them. They may live right on the surface, or they may be buried deep from years of others telling you they were foolish, but they are there...
5 Lessons From Succesful People: Simple Changes That Creates Amazing Results.
Hello everybody, I have being busy with my university studies so I could not get time to update posts here but I hope we're together. I would like you to read these self improvement tips which I got from one of my favourite site. It will be awesome if you put this into practise and develop your own super excellent character and become smart. Hope this success article will help you in one way or another, here it is read for yourself...
Why are successful people successful? What makes them achieve things most other people can only dream about? In most cases it is not luck or a very special talent they have. Sure, it may seem that way, but when you look at it more closely (and you ask them), things turn out quite differently. Let’s explore.When I study successful people by reading biographies and by talking with them, I see a clear pattern in their actions. The power of the five things below lies not in that you know them all, or you know some. The real strength is in hearing and seeing them again, and this time taking action. Apply what you read and grow.
Here arefive thingsyou should take into account in order to create amazing results in your life.
1. Life is a marathon, not a sprint.Don’t do something today and stop doing it tomorrow. Don’t hope from one ‘life changing’ idea to the next because the other one is looking even more amazing to you. Being consistent, longer than a couple of days, will create changes in your life.
Usually people say that on average habits are changed in about 3 to 4 weeks. Decide what you want to do, and do it for one month. I am sure after that month, you acquired a new skill, habit, attitude that will help you the rest of your life.
And with all this marathon living, you can of course take a few sprints every now and then. Just as long as you are never stopping or moving in the opposite direction.
2. Successful people do things other people don’t do.I believe people are by nature lazy creatures. We go for the shortest route, even if that isn’t bringing us to where we want to go. Sounds strange? Then why are you reading lots of articles on making your life easier and 90% of the information is never used?
There are lots of amazing ideas, tips and techniques right under your nose, you just have to take action. Get up earlier, study, have discipline, don’t chase the money, take responsibility. Do that and you are about to get more out of life than most other people.
3. Successful people know their outcome.No matter what you change, know why you are changing and what you are changing into. Have a clear goal, and take the appropriate action. The moment you know your outcome, change will be a lot easier. Getting up earlier to write 10 pages for your book is easier when you know you want to write a book, right? Going on a diet is a lot easier when you want to fit in your wedding dress.
4. Successful people are willing to trade short term fun for long time happiness.Understand that change normally comes with a little (or lots of) discomfort. This isn’t strange. Your body and brain will try to keep you in the state they are in. That is nature. What is in balance must stay in balance. And you are about to change the equilibrium in your life.
That simply has to hurt a little bit and cause stress. Get over it. You are not doing this to remain in the same situation you are in right now. You are doing this to improve your life and the lives of your family.
5. Successful people are almost just like other people.Almost… and that is the big difference. They tweak their lives a little bit and make amazing results a reality. Big changes come from taking small steps consistently.
Perhaps this is what this entire article is all about. You can make your life amazing, just as long as you identify the small steps and take them, day in and day out, no matter what.
Putting it Into ActionIn short, successful people are able to make simple and small changes to their lives that in time end up in amazing results. Think about some of the small things you can do right now, from today for the next 6 months.
Action point 1:Become smarter. Stop watching TV 15 minutes earlier, or use the commercial break to read and study (this one will do wonders, especially for people who watch TV a lot).
Action point 2:Do something more productive. Get up 10 minutes earlier and use that time for a couple of push-ups, crunches, preparing a good breakfast, or studying.
Action point 3:Stop something bad in your life. For example stop eating that one candy bar at the end of the day. This may not save your health immediately, but by cutting back on your sugar intake each day or week, you will make a difference in your life. You can also replace the word candy bar with coffee, snacks, fast food, etc. and reduce other unhealthy eating habits.
Hope you have enjoyed the tips for success and you will put into action what must be done. Wish you luck and success on your self transformation. See you then...
Subscribe to:
Posts (Atom)